![]() |
| Wema n Diamond |
hao vikoba sijui vikapu wanatufuta kikiii tuu, yaani hapa mjini watu wanatafuta watoke vipi khaa kuwasingizia watu ili iweje mmmh ni shidaaa mjini,utakuta jitu lingine limekaa tu kutunga stori za uongo na wengine kusingizia wenzao wamekufa basi hizi ndio raha na tabu za mitandao huru kila mtu ana fb anajisikia tu ku post upupu
na nyie mnaojua kuongea hebu kwanza muwe mnasubiri siku mbili tatu msikie wahusika wanasemaje sio kukimbilia ku comment wanafilisika sasa, kwahio watu wakifilisika weye wafurahi khaaa utumbo mtupu .....
hili mmechemka tafuteni lengine la kuongopa vikapu...

No comments:
Post a Comment