![]() |
| mwanaume anae post hela ???? |
![]() |
| wajinga ndio watamalizwa |
|
| who to beg for money ???? |
Nilikuwa sitaki kuijadili hili swala maana namuelewa alieandika hivi ni mtu wa aina gani, mengi yataongelewa ila kwa habari zaidi za huyu kaka muulizeni Juliana Kanyomozi ambacho kina mfanya mpaka leo ajutie katika maisha yake....
NB
Wana mitandao ushauri wa bure tuu, msione mtu ana post hela sijui magari wakati mwingine mjiulize why? haswa mwanaume, sasa wakina da da kuweni makini tena makini sisemi mengi ila ushuhuda wa huyu mtu anaetafuta kiki waulizeni waganda na ushuhuda zaidi yaliyomkuta muulizeni juliana Kanyomozi msije na nyie mkalizwa
kwa wanaomjua hawapati shida naye sasa kazi kwako weye unayedandia treni kwa mbele
kama unarafiki mganda muulize kuhusu huyu kaka halafu uje ku comment


No comments:
Post a Comment