MONDAY SPECIAL
Okay ni siku ya nyingine na ni mwanzo wa week hivyo inatupasa tuchangamke sasa mada ya leo ni kukuta katika weekend hii yaani tukio lipi lilikusimua wewe/kitaani/mji hebu share with us katika comment tujue vitu fulaniii hivi vilivyotokea weekend.... niambieni nani alinuna mtaani, nani alifurahia nani alikechiiiii NBNaomba mtu asije akanitajia kampuni ya simu please wadhamini wetu ni Airtel tuu na kama kuna kutaja kampuni ya simu iwe ni Airtel ni Airtel pekee inayoniwezesha mimi kuwasiliana nawe so sitaki kufaidisha wengine na wakati blog imelipiwa na Artel sifanyi cheap promo......
No comments:
Post a Comment