YAWALIMWENGU
Sintah naomba iweke hii ili iwe funzo kwetu sisi wanawake,sijui tumekumbwa na pepo gani,Yaani we are risk takers shauri ya wanaume watuone tunalipa,mara tuingize mavitu kwa bibi mara tunawie shabu yote hii ukiulizwa sababu,twataka tuwe na mvuto kwa wanaume, sijui know mnato mwisho wake ndo kama hivyo sasa shepu na mnato wa muda mfupi,ila mateso yake yanakugharimu,turidhike na tulivyoumbwa......
No comments:
Post a Comment