Pages

Thursday, December 4, 2014

THURSDAY SPECIAL

Hellow

Loe kwa kuwa ni siku maalumu ningependa tujadili hili swala 

Kuongezeka kwa wamama watu wazima kutembea na viserengeti boys nini chanzo la tatizo hili?

Kutoridhishwa na waume zao? maaumuzi tu anafanya ama ni nini? hii mada imeletwa kwenu kwakuwa kwa sasa wamama wengi wanabanana na sista duzzz na hawana kabisa aibu kuwa huyu mtoto ninaweza kumzaa.
ingawa wengi wanasema umri haujalishi katika mapenzi ila ki Africa ni kambo la kushangaza ukionekana mtu mzima na kijana mdogo ndoi maana wanachekwa na kutungiwa jina la Serengeti Boys.

Tujadili 

NB
Matusi tuyaepuke, tutumie lugha ya tafsida....

No comments:

Post a Comment