Pages

Tuesday, December 2, 2014

MUNGU NI MWEMA

Love is n the air


wakubwa wanafaidi

shurti na kurembua

Yaani kwa vitu nilivyokuwa naviombea katika sala zangu ni hii ndoa, niliumia sana pale mwanaume alipokuwa anatoa machozi, asikwambie mtu chozi la mtu mzima ni baya sana, Irene ni mfano wa kuigwa aana huwa hana tabia za makundi ya umbea kwa kweli kama ana vitabia vyake vingine sawa kwakuwa hakuna binaadam mkamilifu, huwezi kumkuta ktk ma group nilisikitika sana pale pepo mbaya alipomuandama na kumtusi mumewe katika vyombo vya habari, na yeye mwenyewe nilimwambia, yote yamepita, nawatakia kila la kheri baba ma mama Krish......



No comments:

Post a Comment