| aaah Halima weye unakula kuku kwa mrija |
| mwisho wa mwaka na project inaendelea |
| hongereniii |
haya nikasema na nyie ndugu zangu nisiwaache nyuma kama makalio niwaonyeshe watu wanavyokula bataaa huko SA....
Enjoy ila usinune hangaika mwanawaniiii ipo siku na wewe utjichana....
No comments:
Post a Comment