Pages

Tuesday, December 2, 2014

LIVE KUTOKA SOUTH AFRICA

aaah Halima weye unakula kuku kwa mrija

mwisho wa mwaka na project inaendelea

hongereniii
Halima Kimwana anafaidiiii, haaaaaa ni raha aje kajisemea le Big show kaa karibu na mauwa ili unukie usikae nyuma nyuma kama makalio ukapata harufu mbaya ya hewa chafuu, ni mambo kutoka kwa mzee Madiba watu wanakula raha mpaka wanapitiliza, raha ya hawa wanao kula raha ni kwamba wanajua kuzitafuta kwa udi na uvumba......

haya nikasema na nyie ndugu zangu nisiwaache nyuma kama makalio niwaonyeshe watu wanavyokula bataaa huko SA....

Enjoy ila usinune hangaika mwanawaniiii  ipo siku na wewe utjichana....



No comments:

Post a Comment